MAISHA YA WATANZANIA YAZIDI KUBORESHWA , TIGO WATOA PIKIPIKI NYINGINE PROMOSHENI YA WAJIFTISHE
Na Mwandishi Wetu. Ikiwa ni takribani mwezi mmoja tangu kuzinduliwa kwa kampeni ya WAJIFTISHE GIFTI JUU YA GIFTI inayoendeshwa na Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za Kidigitali hapa nchini Tigo Tanzania, Bibi Frola Willison Rutabingwa ameibuka mshindi wa pikipiki aina ya Boxer kupitia KAMPENI YA TIGO “WAGIFTISHE GIFT JUU YA GIFT” baada ya kununuliwa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed